HABARI BLOG
Breaking News
Loading...

Thursday, December 10, 2015

BREAKING NEWS:MAGUFULI ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

Magufuli: Tutakuwa na mawaziri 19, kuna baadhi ya wizara zitakuwa na mawaziri na hazitakuwa na manaibu waziri. Lengo ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama. Zilitengwa bilioni 2, mawaziri watakapoteuliwa waende semina elezi, baraza nitakaloliteua halitakuwa na semina elekezi na fedha tutaelekeza sehemu nyingine kama ni madawati au kwenye elimu bure. Ofisi ya Rais, Tamesemi utumishi na utawala bora, Simbachawene na Kairuki, Naibu waziri Jaffo Mazingira: Makamba, naibu Makamba Ajira, walemavu: Jenista Mhagama, Naibu nimemtua mbunge, Pos Abdallah ambae ni mhadhiri Dodoma Ulemavu: Mavunde Kilimo, mifugo na uvuvi:...

Wednesday, December 9, 2015

MAGAZETI YA LEO ALHAMIS DEC 10 2015

...

Tuesday, December 8, 2015

MAGAZETI YA LEO JUMATANO DISEMBA 9-12-2015

...
 

IDADI YA WASOMAJI